BARRICK NORTH MARA YALIPA BILIONI 3.7/ ZA USHURU WA HUDUMA TARIME...
Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Dkt. Mark Bristow (katikati waliokaa), Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (wa tatu waliokaa), Makamu Mwenyekiti wa...
BASHE AHIMIZA USHIRIKIANO KATI YA NIRC NA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI
Na; NIRC DODOMA
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amehimiza ushirikiano kati ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri, katika kusimamia miradi...
BENKI YA NMB MLIPA KODI MKUBWA ZAIDI NA BORA ZAIDI TANZANIA
Katika kuendelea kuwa mshirika mkubwa wa maendeleo nchini, Benki ya NMB imetunukiwa tuzo 3 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ikiwa ni sehemu ya...
TANZANIA, UN TOURISM ZASAINI MAKUBALIANO YA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA UTALII...
Na Mwandishi Wetu- Madrid, Hispania
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Shirika la Utalii Duniani la Umoja wa Mataifa (UN Tourism) zimesaini mkataba...
KUELEKEA MKUTANO WA M300: TANZANIA YAWEKA HISTORIA UUNGANISHAJI UMEME VIJIJINI
* Watanzania asilimia 78.4 wameunganishwa na umeme
* Uunganishaji umeme vijijini wafikia asilimia 100
* Vitongoji 33,657 vimefikiwa
* Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030
*...
ULIPAJI FIDIA MRADI WA MAGADI SODA WAZINDULIWA RASMI
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt, Selemani Jafo,akizungumza na wananchi wakati wa zoezi la uzinduzi wa ulipaji fidia kwa wananchi wa eneo la Kata...










