HABARI PICHA: WATUMISHI WA WIZARA YA MADINI IKIZUNGUMZA NA MKUU WA...
Mwanasheria wa Wizara ya Madini Godfrey Nyakisinda (wa kwanza kushoto) akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Geita Rosemary Senyamule (kulia) wakati wa ziara...
STAMICO KUJIIMARISHA KATIKA UONGEZAJI THAMANI WA DHAHABU
Meneja Masoko na Uhusiano wa STAMICO Geofrey Meena (kulia) akizungumza mbele ya mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Amina Makiragi (katikati) alipotembelea...
MKUU WA MKOA WA GEITA AMEFURAHISHWA NA MATUMIZI YA TEKINOLOJIA KATIKA...
Mkuu wa Mkoa wa Geita (wa pili kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana (wa kwanza kushoto) wakipokea maelezo kutoka kwa Mtakwimu wa Tume...
NAIBU WAZIRI WA VIWANDA EXAUD KIGAHE ATOA NENO KWA WATUMISHI WA...
Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe atoa wito kwa watumishi wa Wakala wa Vipimo nchini kufanya kazi kwa bidii na...
TPSF YAWAJENGEA UWEZO WADAU WA SEKTA BINAFSI ZA UTALII ILI KUWEZA...
Mkurugenzi wa huduma kwa wanachama,uwezeshaji na kuwafikia wadau tpsf Bwn.Zachy Mbenna akiongea na waandishi wa habari katika mkutano huo.Ni mkurugenzi wa Halmashauri ya Arusha...
TANZANIA YATAKA KUWEPO UHURU WA KISERA KWA NCHI MASIKINI NA ZINAZOENDELEA:...
Serikali ya Tanzania imetaka kuwepo na uhuru wa kisera kwa nchi zinazoendelea na maskini ili kujihami na athari za uingizwaji uliokithiri wa bidhaa za...