FCC YAWAJENGEA UWEZO WAHARIRI WA HABARI MABORESHO YA SHERIA KUTHIBITI BIDHAA...
Mkurugenzi Mkuu wa FCC, William Erio, Akizungumza katika kikao kazi cha siku moja cha Wahiriri wa vyombo vya habari kilichofanyika mwishoni mwa wiki Jijini...
WANANCHI NTUNDUWARO WANUFAIKA NA MAKAA YA MAWE
- _Wajengewa barabara, Zahanati_
- _MILCOAL yatoa fursa za ajira_
UZALISHAJI wa madini ya makaa ya mawe katika kijiji cha...
KKKT KUSHIRIKIANA NA TRA KUTOA ELIMU YA KODI
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) linatarajia kuanza kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutoa elimu ya Kodi makanisani ili kuongeza idadi...
BENKI YA NMB YAVUNJA REKODI YA UFANISI KWA MATOKEO YA KIHISTORIA...
Matokeo haya mazuri ya kifedha yamechagizwa na utekelezaji makinii wa mkakati wa Benki na uwekezaji endelevu katika kutumia uwezo wa teknolojia za kidijitali:
• Faida...
DKT. MWAMBA: TANZANIA NA UJERUMANI KUENDELEZA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, akizungumza na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Kimaendeleo ya Shirikisho...
SOKA KARIAKOO KUFUNGULIWA RASMI FEBRUARI 2025
DAR ES SALAAM
SOKO la Kariakoo linatarajiwa kufunguliwa rasmi mwezi februari mwaka huu, baada ya kukamilika kwa ukarabati wake kufuatia ajali ya moto iliyotokea Julai...










