DKT.BITEKO KUZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba akizungumza na waandishi wa habari.Serikali kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU), Shirika la Maendeleo la...
NHC YAENDELEA KUJENGA NYUMBA BORA NA NAFUU KWA WATANZANIA
Dodoma, Mei 29, 2025
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) inaendelea kutekeleza kwa vitendo dhamira ya...
WAKULIMA WADOGO KUNUFAIKA NA MRADI MPYA
Taasisi ya nishati mbadala ya REEP imezindua Mradi wa Pure Growth Fund kwa lengo la kuwawezesha wananchi, hasa walioko katika sekta za kilimo na uvuvi, kupata...
WAFANYABIASHARA MKOANI ARUSHA WAHIMIZWA KUFANYA MAKADIRIO NA KULIPA KODI ZAO STAHIKI...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Arusha imewataka Wafanyabiashara mkoani hapo kuhakikisha kwamba wanajenga utamaduni wa kufanya makadirio ya kodi na...
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAONESHO YA WORLD EXPO 2025...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 23, 2025 amewasili Osaka nchini Japan kumwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maonesho ya...
FCC YAJIDHATITI KUTOA HUDUMA ZAKE KIDIGITALI
Na: Mwandishi wetu, DSM
Tume ya Ushindani (FCC) inatarajia kuanza kutoa huduma zake kwa njia ya mtandao, itakayosaidia kurahisisha shughuli zake na kuwafikia wananchi kwa...










