HUGHES DUGILO
MSAJILI HAZINA: NI WAKATI WA TANZANIA KUNADI FURSA ZA UWEKEZAJI KIMATAIFA
Abidjan, Ivory Coast
Katika jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa linalochomoza...
WAUGUZI WATAKIWA KUWA WAADILIFU, WAGUNDUZI KATIKA KAZI
Na, WAF-Iringa.
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amewataka wauguzi kote nchini kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na uzalendo, huku akisisitiza umuhimu wa kulinda...
OFISI YA MSAJILI WA HAZINA YAWALETA PAMOJA TEF, PPRA KATIKA KIKAOKAZI
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Ofisi ya Msajili wa Hazina Sabato Kosuri akizungumza jambo na Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri TEF katika kikao...
WAZIRI MKUU ASHIRIKI UFUNGUZI WA JUKWAA LA MAAFISA WATENDAJI WAKUU AFRIKA...
_▪️Rais Ouattara asisitiza uongezaji thamani wa mazao_
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameshiriki ufunguzi wa Mkutano wa siku mbili wa Maafisa Watendaji Wakuu barani Afrika ulioanza...
NAIBU MSAJILI WA VYAMA ATUMA SALAMU KWA VYAMA VYA SIASA
Mwenyekiti Taifa wa Chama cha Kijamii cha CCK David Daudi Mwaijolele ambaye pia amepitishwa kwa kupigiwa kura kugombea nafasi ya Rais wa Jamhuri...