HUGHES DUGILO
KAMPUNI YA MATI SUPER BRANDS LIMITED YADHAMINI TIMU YA FOUNTAIN GATE
Na Ferdinand Shayo ,Manyara
Kampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi iliyopo mjini Babati Mkoani Manyara imedhamini timu ya mpira wa miguu inayoshiriki...
DIWANI KIMWANGA AFANYA KIKAO NA WAZAZI HOFU UTEKAJI WATOTO
Na MWANDISHI WETU-DAR ES SALAAM.
Diwani wa Kata ya Makurumla Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo mkoani Dar es Salaam, Bakari Kimwanga, amewataka wazazi na walezi...
BODI YA WAKURUGENZI TASAC YAFANYA ZIARA BANDARI YA NYAMISATI PWANI
Na John Bukuku
Bandari ya Nyamisati iliyopo Kibiti mkoani Pwani imetajwa kuwa ni bandari ndogo inayofanya vizuri pamoja na changamoto zinazoikabili ikiwemo ukosefu wa afisa...
WAZIRI KAIRUKI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KUSHIRIKI MKUTANO WA PILI WA...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa Pili wa Shirika la...
TANZANIA YAUNGA MKONO AGENDA ZA SHIRIKA LA UTALII DUNIANI ZA UWEKEZAJI...
Na: Mwandishi Wetu- Zambia
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeunga mkono agenda za Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) kuhusu uwekezaji wa kimkakati...
BASHE ATEMBELEA KITUO CHA UTAFITI WA MBEGU ZA MICHIKICHI TARI KIGOMA
KGOMA
Waziri wa Kilimo m, Mhe. Hussein Bashe (Mb) ametembelea Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) katika eneo la Kihinga, Mkoa wa Kigoma tarehe...