HUGHES DUGILO
RAIS SAMIA: POLISI WAACHE KUMTAFUTA DKT. GWAJIMA
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi liache kumtafuta Askofu Dkt. Josephat Gwajima kama walivyokuwa wametangaza...
DKT. MWIGULU AKAGUA UHARIBIFU WA KITUO CHA POLISI KIKATITI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Polisi Kikatiti ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, mkoani...
WAZIRI MKUU AKAGUA UHARIBIFU KITUO CHA MAFUTA CHA TOTAL*l
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Mafuta cha Total kilichopo Maji ya Chai ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu...
MHE.. NDEJEMBI AWAHAKIKISHIA UMEME WA UHAKIKA WAKAZI WA KIGAMBONI
■ Afanya Ziara katika Kituo cha Dege
■ Aelekeza hatua za haraka kuchukuliwa kunusuru hali ya umeme Kigamboni
■Umeme wa Megawati 22 kupatikana kwa hatua za...
MSAMA: TUWAPUUZE WANAOLIPWA KUVURUGA AMANI YETU
Mfanyabiashara malufu nchi Tanzania Ndugu Alex Msama amewataka Watanzania kuwapuuza watu ambao wanalipwa ili kuvuruga amani ya nchi yetu ya Tanzania na mara nyingi...
MSAMA: WAZAZI, VIONGOZI WA DINI WASHAURINI VIJANA DHIDI YA VURUGU
MKURUGENZI wa Msama Promotion, Alex Msama, ameetoa wito kwa wazazi nchini kukaa karibu na watoto wao na kuwashauri kuepuka ushawishi wa kujiingiza kwenye vitendo...







