HUGHES DUGILO
WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAONESHO YA WORLD EXPO 2025...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 23, 2025 amewasili Osaka nchini Japan kumwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maonesho ya...
FCC YAJIDHATITI KUTOA HUDUMA ZAKE KIDIGITALI
Na: Mwandishi wetu, DSM
Tume ya Ushindani (FCC) inatarajia kuanza kutoa huduma zake kwa njia ya mtandao, itakayosaidia kurahisisha shughuli zake na kuwafikia wananchi kwa...
MAADHIMISHO WIKI YA AZAKI 2025 KUFANYA JUNI 2-6 JIJINI ARUSHA
Maadhimisho ya wiki ya AZAKi 2025 yanatarajiwa kufanyika jijini Arusha kuanzia Juni 2 hadi 6, 2025 yakilenga kutathimini mafanikio ya Azaki na kupanga mikakati...
NHC YAIN’GARISHA MASASI
-Jengo la Sh2.7 bilioni lazinduliwa
-Kukamilika Septemba
-Wapangaji wameshajaa
Mwandishi Wetu
Mei 18,2025 ni siku ambayo NHC imeandika historia mpya kwa mji wa Masasi, wilayani Masasi mkoani Mtwara.
NHC...
CWT KUCHAGUANA MEI 29
: Suleiman Mathew Ikomba, Makamu wa rais wa CWT ambaye anagombea U rais wa chama hicho kwa sasa Joseph Masolwa Misalaba, Kaimu katibu mkuu na...