HUGHES DUGILO
KISHINDO CHA DKT. MIGIRO, AKIWASILI UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi-CCM, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, leo tarehe 13.1.2026 amewasili katika ukumbi wa Diamond Jubilee kwa ajili ya kuzungumza na...
TFF YAMPONGEZA MAKONDA KUTEULIWA KUIONGOZA SEKTA YA HABARI
"HONGERA MHE. PAUL CHRISTIAN MAKONDA kwa kuteuliwa Waziri wa Habari, Utamaduni,
"TEF tunakuahidi ushirikiano katika kuendeleza taaluma ya habari nchini, hasa eneo la UCHUMI WA...
WATANZANIA WATAKIWA KUWA MAKINI NA WAPOTOSHAJI MITANDAONI-MCHANGE
Na: Mwandishi Wetu.
MWENYEKITI wa kituo cha wanahabari watetezi wa rasilimali na taarifa – MECIRA, Habibu Mchange, amewataka Watanzania kuziangalia kwa macho makali kampeni za...
DKT.MIGIRO KUUNGURUMA ILALA KESHO, AKIHITIMISHA ZIARA JIJINI DAR ES SALAAM
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi-CCM, Dokta Asha-Rose Migiro, kesho tarehe 13.1.2026 anatarajiwa kuhitimisha ziara yake ya kimkakati katika wilaya ya Ilala, mkoani Dar...
WAZIRI MKUU ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI KATIKA KANISA LA KKKT (DMP)...
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki ibada ya Jumapili, leo, tarehe 11 Januari 2026, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya...
MWANZA YAZIDI KUNG’ARA KUPITIA MIRADI YA UMWAGILIAJI
Mwanza
Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, inaendea kuinua hadhi ya Mkoa wa Mwanza, kupitia utekelezaji wa Miradi ya Umwagiliaji kutokana na wananchi kuanza...







