ENNA SIMION
NAIBU KATIBU CCM AMEKUTANA NA WAJUMBE WA CCM SHINYANGA
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, leo Septemba 6, 2024, amekutana na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya...
KIWANDA CHA MAFUTA YA ALIZETI KUNUFAISHA WAKULIMA DODOMA
Wakulima wa zao la Alizeti wanatarajiwa kunufaika na zao hilo kufuatia ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kukamua Alizeti kinachojulikana kama Mainland kinachojengwa katika eneo...
MIKAKATI YA SERIKALI KULINDA RAIA DHIDI YA WANYAMAPOLI -WAZIRI CHANA
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amesema Serikali itaendelea kuweka mikakati madhubuti za kuwalinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali...
RAIS DKT.SAMIA AZUNGUMZA NA WAWEKEZAJI WA MAKAMPUNI CHINA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Wawekezaji na Viongozi wa Makampuni mbalimbali ya China...
AHIMIZA VIWANJA VYA MICHEZO KUJENGWA-MHE.NDUMBARO
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema wizara hiyo kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI ipo katika mkakati wa...
NAIBU KATIBU MKUU CCM AANZA RASMI ZIARA SHINYANGA
Naibu Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga mara baada...