ENNA SIMION
RAIS MWINYI AZINDUA RIPOTI YA JIOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI ZANZIBAR
*GST yakamilisha Utafiti wa Miamba, Udongo na Maji Zanzibar
*Waziri Mavunde: Ripoti ya Jiolojia Zanzibar itachochea uwekezaji mkubwa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...
SUALA LA MAZINGIRA LIWE AJENDA YA KITAIFA-MHE.KASSIM MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema suala la uhifadhi wa mazingira liwe ajenda ya Kitaifa na jukumu la kila mmoja kuanzia ngazi ya familia mpaka...
PUMAGAS YAZINDUA BEI KAMA MKAA FAIDA KIBAO
Na Mwandishi Wetu
Katika kuunga mkono jitihada za Serikali katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Puma Energy Tanzania kupitia PumaGas imezindua...
MAJALIWA KUFUNGA MKUTANO MAALUM, MWELEKEO WA MAZINGIRA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 10, 2024 anafunga mkutano maalum wa viongozi, wataalam na wadau wa mazingira kuhusu mwelekeo wa mazingira nchini, katika...
DKT.SAMIA AMEELEKEZA RASILIMALI ZINAZOCHIMBWA NCHINI ZIWANUFAISHE WATANZANIA – DKT. BITEKO
*Asisitiza Ushuru wa Huduma Kutatua Changamoto za Wananchi
*Uchimbaji wa Gesi Asili Kuchochea Uchumi
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
Rais wa Jamhuri...
SERIKALI KUVUTIA WAWEKEZAJI UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI- DKT. BITEKO
*Ashuhudia makabidhiano leseni ya uendelezaji Gesi Asilia Kisima cha Ruvuma
*Azitaka TPDC na ARA Petroleum kutoa kipaumbele kwa wazawa katika ajira
*Kitalu cha...