ENNA SIMION
MHE. SAMIA AFIKA MOROGORO NA SGR
http://MHE. SAMIA AFIKA MOROGORO NA SGR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Stesheni ya Jakaya Kikwete Mkoani...
CHATO MSIFANYE MAKOSA KUCHAGUA VYAMA VINGINE – DKT. BITEKO
*Rais Samia Avunja Rekodi Miradi ya Maendeleo Chato*
*Asema CCM Itabeba Vyote*
*Kalemani Ataja Mabilioni ya Miradi Chato*
*Asema CCM Inatekeleza Ahadi*
Mjumbe...
CCM HATUCHEKI NA MTU KATIKA KUSHIKA DOLA,TUMEJIPANGA- CPA MAKALLA.
KATIBU wa Halmashauri Kuu ( NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Itikadi, Uenezi, Siasa na Mafunzo CPA Amoss Makalla amesema Chama hicho...
ZAIDI YA BILIONI 10 SKIMU YA UMWAGILIAJI MASIMBA KUNUFAISHA WAKULIMA 24,000...
*NIRC Singida.*
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ambaye ni mbunge wa Iramba Magharibi ameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kuendelea kuboresha sekta ya...
TIRA YATAKIWA KUIMARISHA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA SHUGHULI ZAKE
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imetakiwa kuimarisha matumizi ya teknolojia, na kuhakikisha kwa kiasi kikubwa inafanya shughuli zake kidigitali ili kwenda sambamba...
WAZIRI CHANA AIPA TANO TTB KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII
Na Happiness Shayo- Dar es Salaam
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) ameipongeza Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwa...