ENNA SIMION
DKT.PHILIP AHIMIZA UWEKEZAJI UPANDIKIZAJI MIMBA KWA WATU WENYE CHANGAMOTO HOSPITALI YA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amehimiza uwekezaji uliofanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wa Upandikizaji Mimba...
VIJANA KUPEWA KIPAUMBELE KUHUSU ELIMU NA AJIRA-DKT TULIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amesema kuwa vijana...
ASKARI UHIFADHI NGORONGORO KUWA NA MAHUSIANO MAZURI NA WANANCHI
Askari Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) wametakiwa kujenga mahusiano mazuri na wananchi wanaozunguka Hifadhi ya Ngorongoro ili kuendeleza juhudi...
RAIS MWINYI AZINDUA RIPOTI YA JIOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI ZANZIBAR
*GST yakamilisha Utafiti wa Miamba, Udongo na Maji Zanzibar
*Waziri Mavunde: Ripoti ya Jiolojia Zanzibar itachochea uwekezaji mkubwa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...
SUALA LA MAZINGIRA LIWE AJENDA YA KITAIFA-MHE.KASSIM MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema suala la uhifadhi wa mazingira liwe ajenda ya Kitaifa na jukumu la kila mmoja kuanzia ngazi ya familia mpaka...
PUMAGAS YAZINDUA BEI KAMA MKAA FAIDA KIBAO
Na Mwandishi Wetu
Katika kuunga mkono jitihada za Serikali katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Puma Energy Tanzania kupitia PumaGas imezindua...