ENNA SIMION
UJENZI WA BANDARI YA BIL.266 KUKAMILIKA KWA WAKATI KILWA LINDI.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack ametembelea kuona nakukagua ujenzi wa mradi mkubwa wa bandari ya uvuvi ya kisasa inayojengwa Wilayani kilwa...
RAIS SAMIA AFUNGUA SKULI YA MAANDALIZI TASANI KUSINI UNGUJA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Skuli ya Maandalizi Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa shamrashamra...
MAKAMU WA RAIS MHE.DKT PHILIP MPANGO AKIWA ZIARANI WILAYA YA MPWAPWA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Wananchi wa Kibakwe Wilaya ya Mpwapwa akiwa ziarani mkoani...
RAIS WA ZANZIBAR MHE.DKT.MWINYI AZUNGUMZA NA BAROZI WA INDIA NCHINI TANZANIA...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Balozi wa India Nchini Tanzania Mhe.Bishwadip...
SERIKALI KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA WILLIAMSON DIAMOND KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA...
Serikali kwa kushirikiana na Kampuni Williamson Diamond inaweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa bei ya madini ya almasi katika soko...
MASHINDANO YA UTAMADUNI YA MKUU WA MAJESHI NCHINI YATIMUA VUMBI JIJINI...
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Hamis Mwinjuma,akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa mashindano ya Utamaduni ya Mkuu wa Majeshi Msasani...