Home LOCAL MHE.HEMED SULEIMAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI MBALIMBALI NA WANANCHI KILELE CHA MAADHIMISHO SIKU...

MHE.HEMED SULEIMAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI MBALIMBALI NA WANANCHI KILELE CHA MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI DUNIANI.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Viongozi wa Serikali, Watendaji kutoka Tasisi mbali mbali na wananchi waliofika katika hafla ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani yaliyofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idris Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.

http://MHE.HEMED SULEIMAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI MBALIMBALI NA WANANCHI KILELE CHA MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI DUNIANI.

Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR )
Tarehe 01.12.2025