Home LOCAL MHE.RAIS SAMIA NA VIONGOZI MBALIMBALI WASHIRIKI IBADA MAALUMU YA MAZISHI YA...

MHE.RAIS SAMIA NA VIONGOZI MBALIMBALI WASHIRIKI IBADA MAALUMU YA MAZISHI YA HAYATI MZEE CLEOPA DAVID MSUYA.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine wa Serikali, wakishiriki katika ibada maalumu ya mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya, katika Kanisa la KKKT Kristo Mchungaji Mwema; Dayosisi ya Mwanga, Jimbo la Kaskazini, Usharika wa Usangi Kivindu, mkoani Kilimanjaro, leo Mei 13, 2025.

http://RAIS SAMIA NA VIONGOZI MBALIMBALI WASHIRIKI IBADA MAALUMU YA MAZISHI YA HAYATI MZEE CLEOPA DAVID MSUYA.