Home LOCAL RAIS SAMIA APOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA KATIKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA...

RAIS SAMIA APOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA KATIKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Mashirika na Taasisi za Umma, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Juni, 2024

Viongozi wa Serikali, Wakuu wa Mashirika na Taasisi za umma pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Mashirika na Taasisi za Umma, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Juni, 2024.

Previous articleMIAKA 60 YA MAPINDUZI NA MUUNGANO WA TANZANIA MAENDELEO NI MENGI-DK.MWINYI
Next articleRAIS DKT. SAMIA AHUTUBIA MARA BAADA YA KUPOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here