Home LOCAL WAZIRI MKUU AWAJULIA HALI MAJERUHI WA MAFURIKO MANYARA

WAZIRI MKUU AWAJULIA HALI MAJERUHI WA MAFURIKO MANYARA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 05, 2023 amewajulia hali majeruhi wa maafa ya mafuriko yaliyosababisha kuporomoka kwa tope na mawe kutoka mlima Hanang, Katesh Mkoani Manyara.

Majeruhi hao wanapatiwa matibabu bure na Serikali katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa manyara.

Previous articleSOMA MAGAZETI YA LEO DESEMBA 5-2023
Next articleWAZIRI MKUU ATEMBELEA KAMBI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO HANANG
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here