Home SPORTS TAIFA STARS YAFUZU AFCON 2024

TAIFA STARS YAFUZU AFCON 2024

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Timu ya Taifa ya Tanzania (TAIFA STARS) imefanikiwa kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Africa -AFCON 2024 baada ya Kutoka sare ya 0-0 na timu ya Taifa ya Algeria katika mchezo wa mwisho wa kufuzu kucheza mashindano hayo uliochezwa katika Dimba la May 19, nchini Algeria.