Home LOCAL RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI NEWALA MKOANI MTWARA

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI NEWALA MKOANI MTWARA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Newala katika Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Sabasaba ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwapungia mkono wananchi wa Newala mara baada ya kuwahutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Sabasaba ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023.

  

Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye uwanja wa Sabasaba, Newala Mkoani Mtwara wakati wa mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Sabasaba mkoani Mtwara ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 16 Septemba, 2023.

Previous articleYASEMAVYO MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI SEPTEMBA 16-2023
Next articleYANGA SC YAICHAPA EL MERRIKH CAFCL 2-0 UGENINI
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here