Home BUSINESS PICHA: HAFLA YA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA MAFANIKIO YA BENKI YA...

PICHA: HAFLA YA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA MAFANIKIO YA BENKI YA NMB

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla ya kuadhimisha miaka 25 ya Mafanikio ya Benki ya NMB inayofanyika leo tarehe 17/6/2023 Jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Mlimani City ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suruhu Hassani ni mgeni rasmi katika hafla hiyo.