
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinwumi Adesina, alipowasili nchini katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Darbes Salaam, kwa ziara ya kikazi.


