Home BUSINESS MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI STAMICO ATEMBELEA BANDA LA TEITI MAONESHO YA...

MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI STAMICO ATEMBELEA BANDA LA TEITI MAONESHO YA MADINI GEITA

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Madini la Taifa STAMICO Meja Jenerali Michael Isamuhyo na Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Lucas Selelii wakipata maelezo Kutoka Kwa Afisa Msimamizi wa Fedha wa Taasisi ya Uhamasishaji, Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali madini, Mafuta na Gesi asilia (TEITI) Erick Ketagory wakati walipotembelea Katika Banda la taasisi hiyo kwenye maonesho ya 5 ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika Katika Viwanja EPZ Bombambili mkoani Geita.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Madini la Taifa STAMICO Meja Jenerali Michael Isamuhyo na Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Lucas Selelii wakipata maelezo kuhusu machapisho yanye malengo ya TEITI Kutoka Kwa Afisa Msimamizi wa Fedha wa Taasisi ya Uhamasishaji, Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali madini, Mafuta na Gesi asilia (TEITI) Erick Ketagory wakati walipotembelea Katika Banda la taasisi hiyo kwenye maonesho ya 5 ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika Katika Viwanja EPZ Bombambili mkoani Geita.

Afisa Msimamizi wa Fedha wa Taasisi ya Uhamasishaji, Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali madini, Mafuta na Gesi asilia (TEITI) Erick Ketagory  afisa habari wa Taasisi hiyo Godwin Masabala  wakiwa Katika banda lao Kwa ajili ya kutoa elimu Kwa wananchi kuhusu majukumu ya taasisi hiyo.

Previous articleWAZIRI DKT.BITEKO AWATEMBELEA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KUTOKA UGANDA MAONESHO YA MADINI GEITA
Next articleWAZIRI DKT. BITEKO KATIKA BANDA LA BoT MAONESHO YA MADINI GEITA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here