Home LOCAL CHAMA CHA MAPINDUZI CCM MADALE CHAFANIKISHA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI KWA...

CHAMA CHA MAPINDUZI CCM MADALE CHAFANIKISHA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI KWA AJILI YA WANANCHI

Rais wa Taasisi ya AL-WADOOD CHARITABLY SHEIKH ALLY BIN MASOUD AL-MUKHERY akizindua visima vya maji Katika Shina namba moja Madale Kwa Kawawa jijini Dar es Salaam ambapo taasisi hiyo ulimetoa msaada huo kuunga mkono kaulimbiu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan “Kumtua mama ndoo kuchwani” uzinduzi huo uliofanyika  Jumamosi Oktoba 1,2022 na uliahudhuriwa na Makamu wa rais wa Taasisi hiyo  SHEIKH ABDULQADER ALJAHDHAMY , Mwenyekiti wa CCM tawi Bw.Steven Kazimoto na Katibu wake Khadija Mbaga.

Rais wa Taasisi ya AL-WADOOD CHARITABLY SHEIKH ALLY BIN MASOUD AL-MUKHERY na    Makamu wa rais wa Taasisi hiyo  SHEIKH ABDULQADER ALJAHDHAMY  wakinyanyua ndoo ya maji baada ya kuzindua visima vya maji Katika Shima namba moja Madale Kwa Kawawa jijini Dar es Salaam

Rais wa Taasisi ya AL-WADOOD CHARITABLY SHEIKH ALLY BIN MASOUD AL-MUKHERY akimsikiliza  Makamu wa rais wa Taasisi hiyo  SHEIKH ABDULQADER ALJAHDHAMY  wakati akizungumza mara baada ya uzinduzi wa  visima vya maji Katika Shina namba moja Madale Kwa Kawawa jijini Dar es Salaam katikati ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM  Madale Bw. Steven Kazimoto na Katibu wa CCM Madale Bi.Khadija Mbaga.

Rais wa Taasisi ya AL-WADOOD CHARITABLY SHEIKH ALLY BIN MASOUD AL-MUKHERY    akizungumza mara baada ya uzinduzi wa  visima vya maji Katika Shima namba moja Madale Kwa Kawawa jijini Dar es Salaam wa pili Kutoka kulia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Madale Bw. Steven Kazimoto na Katibu wa CCM Madale Bi.Khadija Mbaga.

Rais wa Taasisi ya AL-WADOOD CHARITABLY SHEIKH ALLY BIN MASOUD AL-MUKHERY akimsikiliza  Makamu wa rais wa Taasisi hiyo  SHEIKH ABDULQADER ALJAHDHAMY  wakiwa Katika picha ya pamoja  mara baada ya uzinduzi wa  visima vya maji Katika Shima namba moja Madale Kwa Kawawa jijini Dar es Salaam wengine ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Madale Bw. Steven Kazimoto na Katibu wa CCM Madale Bi.Khadija Mbaga.

Previous articlePITIA VICHWA VYA HABARI JUMAPILI YA LEO OCTOBA 2-2022LEO
Next articleHOPECA YATANGAZA BIDHAA YAKE YA UNGA LISHE MAONESHO YA MADINI GEITA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here