Home BUSINESS BRELA YASHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI JIJINI DAR

BRELA YASHIRIKI SHEREHE ZA MEI MOSI JIJINI DAR

Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wakishiriki katika Maandamano katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam wakiadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani- Mei Mosi 2022.

  Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wakipata picha ya pamoja katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani- Mei Mosi 2022 yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. 

 

Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) wakiwa katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Dunini katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.



 

Previous articleMAKAMBA AWAHAKIKISHIA SOKO LA NDANI WADAU WA NGUZO ZA UMEME ZA MITI NCHINI
Next articleRC MAKALLA AWATAKA WAAJIRI KUWASILISHA MICHANGO YA WAFANYAKAZI KWA WAKATI
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here