Home Uncategorized SIMBA SC YAIPIGA ORLANDO PIRATES 1-0 KWA MKAPA ROBO FAINALI YA KOMBE...

SIMBA SC YAIPIGA ORLANDO PIRATES 1-0 KWA MKAPA ROBO FAINALI YA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!
KLABU ya Simba Sc imeendelea kutka dozi mechi za kimataifa nara baada ya leo kuichapa klabu ya Orlando Pirates Fc bao 1-0 katika dimba la Benjamini Mkapa.

Bao hilo liliwekwa kimyani na beki kisiki Shomari Kapombe ambaye alipiga penati nzuri ambayo ikazama moja kwa moja wavuni.