Home LOCAL MWENYEKITI WA CCM TAIFA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AHUTUBIA MKUTANO MKUU MAALUM...

MWENYEKITI WA CCM TAIFA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AHUTUBIA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM DODOMA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali, Wanachama pamoja na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wakati akifunga Mkutano huo Maalum uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma leo tarehe 01 Aprili, 2022.

Viongozi mbalimbali wa Chama pamoja na Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha Mapinduzi CCM wakiwa ndani ya ukumbi wa Jakaya Kikwete kwa ajili ya kupitisha marekebisho ya Katiba ya Chama ya mwaka 1977 pamoja kumpigia kura kumchagua Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Abdulrahman Kinana leo tarehe 01 Aprili, 2022.

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo kutoka kwa Wazee nchini kwa kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa wa kuleta maendeleo nchini kabla ya kufunga Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma leo tarehe 01 Aprili, 2022.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo wakati akiondoka katika ukumbi wa Jakaya Kikwete mara baada ya kufunga Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Jijini Dodoma.

 

Previous articleABSA TANZANIA YAHAMASISHA WATANZANIA KUCHANJA CHANJO YA COVID-19
Next articleMAANDALIZI YA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI NJOMBE YAKAMILIKA
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here