Home BUSINESS ABSA TANZANIA YAHAMASISHA WATANZANIA KUCHANJA CHANJO YA COVID-19

ABSA TANZANIA YAHAMASISHA WATANZANIA KUCHANJA CHANJO YA COVID-19

Mkurugenzi wa Makampuni Makubwa na Uwekezaji wa Benki ya Absa Tanzania, Hugo Chilufya (wa tatu kushoto) akikabidhi hundi yenye thamani ya Shilingi Milioni 10 kwa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Mambo ya Afya la Fhi360, Waziri Nyoni kwa ajili ya kuhamasisha watanzania kuchanja chanjo ya Covid 19. Makabidhiano hayo yamefanyika jijini Dar es salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Meneja Mahusiano ya Jamii wa Benki ya Absa Tanzania, Hellen Siria, Mshauri Mwandamizi wa Fhi360, Theresia Mrema, Mkuu wa Kitengo cha Mauzo ya Masoko ya Kigeni wa Absa, Irene Rwegalulira na Meneja Uhusiano wa Absa, Neema Athanas.
 
Mkurugenzi wa Makampuni Makubwa na Uwekezaji wa Benki ya Absa Tanzania, Hugo Chilufya (wa tatu kushoto) akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 kwa Shirika la Kimataifa la Mambo ya Afya la Fhi360 kusaidia kampeni ya kuhamasisha watanzania kupata chanjo ya Covid 19. Kutoka kushoto ni Mshauri Mwandamizi wa Fhi360, Theresia Mrema, Meneja Mahusiano ya Jamii wa Absa, Hellen Siria, Mkurugenzi Mkazi wa Fhi360, Waziri Nyoni, Mkurugenzi wa fedha wa Fhi360, Anselm Mmassy na Mkuu wa Kitengo cha Mauzo ya Masoko ya Kigeni wa Absa, Irene Rwegalulira.

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Mambo ya Afya la Fhi360, Waziri Nyoni (wa tatu kulia) akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati Benki ya Absa Tanzania ikikabidhi msaada wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 kusaidia kampeni ya kuhamasisha watanzania kupata chanjo ya Covid 19. Kutoka kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mauzo ya Masoko ya Kigeni wa Absa, Irene Rwegalulira, Mkurugenzi wa fedha wa Fhi360, Anselm Mmassy, Mkurugenzi wa Makampuni Makubwa na Uwekezaji wa Benki ya Absa Tanzania, Hugo Chilufya, Meneja Mahusiano ya Jamii wa Absa, Hellen Siria na Mshauri Mwandamizi wa Fhi360, Theresia Mrema.

Meneja Mahusiano ya Jamii wa Benki ya Absa Tanzania, Hellen Siria (wa pili kushoto) akizungumza jijini Dar es Salaam leo kabla ya benki hiyo haijakabidhi hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 kwa Shirika la Kimataifa la Mambo ya Afya la Fhi360 kusaidia kampeni ya kuhamasisha watanzania kuchanja chanjo ya Covid 19. Kutoka kushoto ni Mshauri Mwandamizi wa Fhi360, Theresia Mrema, Mkurugenzi wa Makampuni Makubwa na Uwekezaji wa Benki ya Absa Tanzania, Hugo Chilufya, Mkurugenzi Mkazi wa Fhi360, Waziri Nyoni, Mkurugenzi wa fedha wa Fhi360, Anselm Mmassy na Mkuu wa Kitengo cha Mauzo ya Masoko ya Kigeni wa Absa, Irene Rwegalulira.
 

Mkurugenzi wa Makampuni Makubwa na Uwekezaji wa Benki ya Absa Tanzania, Hugo Chilufya (kushoto) akikabidhi hundi yenye thamani ya Shilingi Milioni 10 kwa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Mambo ya Afya la Fhi360, Waziri Nyoni kusaidia kampeni ya kuhamasisha watanzania kuchanja chanjo ya Covid 19. Makabidhiano hayo yamefanyika jijini Dar es salaam leo.

Mkurugenzi wa Makampuni Makubwa na Uwekezaji wa Benki ya Absa Tanzania, Hugo Chilufya (wa pili kushoto), Meneja Mahusiano ya Jamii wa Benki ya Absa Tanzania, Hellen Siria, Meneja Uhusiano wa Absa, Neema Athanas, Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Mambo ya Afya la Fhi360, Waziri Nyoni, Mshauri Mwandamizi wa Fhi360, Theresia Mrema, Mkurugenzi wa fedha wa Fhi360, Anselm Mmassy na Mkuu wa Kitengo cha Mauzo ya Masoko ya Kigeni wa Absa, Irene Rwegalulira wakipiga picmara baada ya makabidhiano hayo jijini Dar es Salaam leo.
Previous articleSERIKALI KUHAKIKISHA DAWA ZA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KUWEPO KWENYE VITUO VYOTE NCHINI
Next articleMWENYEKITI WA CCM TAIFA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AHUTUBIA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM DODOMA

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here