Home LOCAL MHE. RAIS SAMIA, AZINDUA MKAKATI WA ELIMU YA UHAMASISHAJI WA SENSA YA...

MHE. RAIS SAMIA, AZINDUA MKAKATI WA ELIMU YA UHAMASISHAJI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akibonyeza kitufe kuzindua rasmi Mpango wa Uelimishaji na Uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, leo Septemba 14,2021 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akilihutubia Taifa katika Hafla ya uzinduzi rasmi wa Mpango wa Uelimishaji na Uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, leo Septemba 14,2021 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
 

 

Previous articleKEVELA AMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KULETA UWIANO WA KIJINSIA KATIKA UTEUZI WA VIONGOZI
Next articleBILIONI 165 ZASAINIWA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA MSALATO
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here