Home LOCAL WAKILI MADELEKA: SERIKALI IENDELEE KUWATAFUTA WAHUSIKA WA VIZA ZA KUGHUSHI.

WAKILI MADELEKA: SERIKALI IENDELEE KUWATAFUTA WAHUSIKA WA VIZA ZA KUGHUSHI.

Wakili wa kujitegemea Piter Madeleka akizungumza na waandishi wa habari.
Na: Richard Mrusha, DAR ES SALAAM.

wakili wa kujitegemea peter madeleka ameitaka serikali kuendelea na uchunguzi wa  ku watafuta  wahusika  wa viza za kughushi  baada yawakili huyo  kuwa muhanga kwa kukaa mahabusu  zaidi ya mwaka moja kwa  shitaka  la hujumu uchumi  hatimaye  kuachiwa uhuru  baada ya kufanya makubaliano na mwendesha mashitaka  

akiongea na vyombo vya habari wakati akielezea  kusihuana na suala hilo wakili madeleka amesema  tangu alivyo kamatwa kwa kosa  la kughushi tahere 14 oct 2019 amejifunza kwakuona baadhi ya taratibu za  sheria za uendeshaji wa kesi za ujuhumu uchumi  zinakiukwa  na kupelekea msongamano mkubwa kwenye mahabusu ikiwemo tatie
 
akielezea baadhi ya taratibu ambazo amedai zina kiukwa madeleka amesema  taratibu hizo ni pamojana  za mwanzo ambazo zinakiukwa ni kifungu 21(1) ambacho kina sema lazima gazeti la serikali  litangaze amri   ambayo inatoa ruhusa ya upelelezi huo kufanyika  ikwemo uhalali  wa  waendesha mashitaka  kutangzwa kwenye magazeti ya serikali kama kifungu na 25(1) kinavyo taka suala ambalo amesema linatoa mwanya kwa upelelezi kuto kamilika 

Aidha madeleka ametaka serikali ifanyeuchunguzi upya wa tuhuma za kughushi viza na yuko tayari kutoa ushirikiano kuweza kuwa baanisha wa uhusika wa  suala hilo  hatahivyo  ameshukuru kwa hatua zinazochukuliwa  na  serikali ya awamu ya sita katika kuingalia upya sheria hiyo

 

Previous articleMAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AZULU KABURI LA HAYATI RAIS MAGUFULI CHATO.
Next articleRAIS WA ZANZIBAR ALHAJ DK.HUSSEIN ALI MWINYI ATOWA MKONO WA EID EL FITRY KWA WANANCHI WALIOFIKA IKULU JIJINI ZANZIBAR.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here