Home LOCAL RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI...

RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WA NCHI 5 IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula pamoja na Viongozi wengine kwa ajili ya kupokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Ireland hapa nchini Mary O’nell Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Balozi Mteule wa Ireland hapa nchini Mary O’nell akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo tarehe 10 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama katika picha ya kumbukumbu na Balozi wa Ireland hapa nchini Mary O’nell pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (kulia) mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu Jijini Dar es Salaam.


Balozi Mteule wa Namibia hapa nchini Lebbius Taneni Tobias akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo tarehe 10 Mei, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula pamoja na Viongozi wengine kwa ajili ya kupokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Namibia hapa nchini Lebbius Taneni Tobias Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Mei, 2021.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama katika picha ya kumbukumbu na Balozi wa Namibia hapa nchini Lebbius Taneni Tobias pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (kulia) mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Namibia hapa nchini Lebbius Taneni Tobias pamoja mara baada ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula pamoja na Viongozi wengine kwa ajili ya kupokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Uturuki hapa nchini Dkt. Mehmet Gulluoglu mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Balozi Mteule wa Uturuki hapa nchini Dkt. Mehmet Gulluoglu akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula pamoja na Viongozi wengine kwa ajili ya kupokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Italia hapa nchini Marco Lombardi mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama katika picha ya kumbukumbu na Balozi wa Italia hapa nchini Marco Lombardi pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula pamoja na Viongozi wengine kwa ajili ya kupokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Msumbiji hapa nchini Ricardo Ambrosio Sampio Mtumbuída Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama katika picha ya kumbukumbu na Balozi wa Msumbiji hapa nchini Ricardo Ambrosio Sampio Mtumbuída Ikulu Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula.
Picha na IKULU

Previous articleKUTOKA MAGAZETINI J.TATU YA LEO MEI 10-2021.
Next articleIGP SIRRO AKUTANA NA IGP WA NCHI YA RWANDA

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here