HUGHES DUGILO
YANGA YATWAA UBINGWA KOMBE LA CRDB 2025
Mabingwa watetezi wa Kombe la Shirikisho la CRDB, Yanga SC, imeibuka Bingwa kwa mara nyingine kwa kuichapa timu ya Singida BS bao 2-0.
Mchezo huo...
TEF YAMPONGEZA Dkt. KAALE KUCHAGULIWA MW.KITI MPYA TAMWA
JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), linampongeza Dk. Kaanaeli Kaale kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA).
Uchaguzi huu ni ushuhuda wa...
FUNGUO YATENGA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 2.5 KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI...
:::::::
Na Mwandishi Wetu
Dar es Salaam
Katika hatua kubwa ya kuleta mapinduzi ya
kiuchumi na kuchochea ukuaji wa biashara bunifu nchini, Mradi wa Ubunifu wa
FUNGUO umetangaza fursa...
KHERI YA MWAKA MPYA WA KIISLAMU 1447
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatoa salamu za heri na baraka kwa Waislamu
wote nchini Tanzania na duniani kote katika kuukaribisha Mwaka Mpya wa
Kiislamu 1447 Muharram.
Katibu...
LADIES OF NEW MILLENNIUM WAUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI KUPITIA MIRADI...
Mkoa wa Mwanza —
Taasisi ya Ladies of New Millennium, ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mama Tunu Pinda, imeonesha mfano wa kuigwa kwa taasisi binafsi...