DKT. MWIGULU AKUTANA NA GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba, ofisini kwa Waziri Mkuu...
SHINA LA MAKUNDUCHI MMEDHIHIRISHA KWA VITENDO KUWA MAENDELEO HAYANA CHAMA-.DKT.MIGIRO
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Dkt.Asha Rose Migiro,amezindua Shina la wakereketwa wa CCM Makunduchi lililopo Mtaa wa Uhuru Wilaya ya Dodoma Mjini,na kuwapongeza kwa...
KANISA LA MLIMA WA MOTO LAZINDUA MAOMBEZI YA KUIOMBEA TANZANIA
:::::::::
Kanisa la Mlima wa Moto Tanzania limesema linatarajia kufanya maombezi maalum ya kuliombea Taifa la Tanzania kupitia Kongamano la Neno la Mungu lililopewa jina...
TANZANIA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA JAPAN, IFAD
Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) (kulia), akiagana na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Yoichi Mikami, aliyefika kwa ajili...
TARURA ARUSHA YATAKIWA KUAINISHA MAENEO YENYE CHANGAMOTOBZQ BARABARA
Arusha
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Arusha imeagizwa kuanisha maeneo yote yenye changamoto za barabara katika maandalizi ya bajeti ya...
WAZIRI MKUU AKUTANA NA VIONGOZI WA KANISA LA ANGLIKANA TANZANIA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dkt. Maimbo Mndolwa (wa pili kulia) na ujumbe wake katika...







