MAJALIWA AKUTANA NA VIONGOZI WIZARA YA ARDHI YA JAPAN PAMOJA NA...
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Mei 27, 2025, alikutana na Waziri wa Ardhi, Miundombinu, Usafirishaji na Utalii wa Japan, Mheshimiwa Hiromasa Nakano kwenye Makao Mkuu ya...
MAKAMO WA RAIS DKT.MPANGO ASHIRIKI MAJADILIANO NA VIONGOZI WA JUU KUHUSU...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema maendeleo ya Tanzania katika uendelezaji miundombinu ni kutokana na ufanisi...
PUMA ENERGY TANZANIA KUPITIA UPYA MPANGO MKAKATI WA BIASHARA
Dar es Salaam, Mei 26, 2025 — Wawekezaji wa PUMA Energy Tanzania, ambao ni Serikali ya Tanzania na Puma Investments Limited, wamekubaliana kufanya mapitio...
ZAIDI YA SH. BILIONI 28 KUJENGA KITUO CHA UPANDIKIZAJI FIGO TANZANIA
▪️Ni kikubwa katika Ukanda wa Jangwa la Sahala_
▪️Pia itatumika katika kutoa mafunzo kwa madaktari bingwa_
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameshuhudia utiaji saini wa hati ya...
MAJALIWA: SERIKALI ITAENDELEZA MIKAKATI YA KUWAUNGANISHA WAFANYABIASHARA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wa Mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Japan ili kuwawezesha...