SOSTENETH MAKERO
RAIS SAMIA AHUTUBIA BARAZA LA EID EL FITR JIJINI DAR ES...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu pamoja na wageni mbalimbali kwenye...
MWENYEKITI WA CCM MKOA TANGA ASISITIZA AMANI SHEREHE ZA EID ELFITR
Na Mwandishi Wetu, Tanga
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, ndugu Ostadh Rajabu Abdullaman, amesisitiza umuhimu wa kuitunza amani katika taifa letu,...
TCB BANK YAENDELEA KUIMARISHA UCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA
BENKI ya Biashara ya Tanzania (TCB) imeendelea kuwa mdau wakuimarisha uchumi wa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla kwa kugusa sekta mbalimbali nchini.
Akizungumza...
UCHAMBUZI WA BAJETI KUCHOCHEA UFANISI TAASISI ZA UMMA
Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam
Timu ya wataalamu 53 kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) itajifungia kwa wiki mbili, kuanzia Jumatatu (Leo), kufanya...
SHAMIRA AKABIDHI SHILINGI MILIONI 1 UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU KASKAZINI...
Mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Viti vitatu Bara Ndg. Shamira Mshangama akiwa kwenye muendelezo wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa Jumuiya ya Vijana...
WAFANYABIASHARA TUENDELEE KUWA NA IMANI NA RAIS SAMIA – MAJALIWA
▪️Ampongeza Kamishna TRA kwa kusimamia Weledi patika ukusanyaji wa kodi
▪️Atembelea kiwanda cha uchakataji mazao ya parachichi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezitaka jumuiya za wafanyabiashara nchini...