NEEMA ADRIAN
DARAJA LA JP MAGUFULI KIGONGO-BUSISI LAFIKIA ASILIMIA 96.3, KUKAMILIKA FEBRUARI 2025
Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amesema Daraja la JP MAGUFULI (Kigongo-Busisi), linalounganisha mkoa wa Mwanza na Geita, linatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka...
USAFISHAJI WA VIFURUSHI, MIZIGO NA ABIRIA KIDIJITALI UTAIMARISHA UCHUMI WAZIRI SILAA
WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb), amesema kuwa kupitia mfumo wa usafirishaji wa vifurushi, mizigo, na abiria Serikali...
WAZIRI WA AFYA APOKEA MSAADA WA VIFAA TIBA WENYE THAMANI YA...
Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama leo amepokea msaada wa vifaa tiba mbalimbali vyenye thamani ya TZS. 125 Mil kutoka kwa Serikali ya Watu...
KISARAWE KUSHEREHEKEA BIRTHDAY YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUKATA KEKI
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amesema maandalizi ya kusherehekea siku ya mfanano wa tarehe ya kuzaliwa rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ifikapo tarehe...
KISHINDO CHA RAIS SAMIA SEKTA YA UTALII CHASIKIKA KILWA
Mataifa mbalimbali yafurika Hifadhi ya Urithi wa Dunia Kilwa Kisiwani
Na Beatus Maganja, Kilwa.
Kazi kubwa ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchi yetu duniani iliyofanywa...
BALOZI NCHIMBI AWASILI NZEGA, AZINDUA UKUMBI MKUBWA WA MIKUTANO
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili na kupokelewa Wilaya ya Nzega, leo Ijumaa tarehe 20 Desemba 2024....