NEEMA ADRIAN
DKT.NCHIMBI ATINGA JIMBO LA LUPEMBE,NJOMBE
Picha mbalimbali za matukio ya Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel...
DKT. SAMIA AAHIDI KASI ZAIDI YA KUWATUMIKIA WANANCHI
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendeleza kasi ya maendeleo wilayani Mbinga...
RAIS DKT SAMIA ANATAMBUA MCHANGO WA MADHEHEBU YA DINI KATIKA KUENDELEZA...
Asema elimu haiwezi kukamilika kama hakuna maadili.
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua kwa dhati mchango wa madhehebu...
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAONGEZEKA NCHINI
Mhandisi Mramba asema yamefikia asilimia 20.3 kutoka asilimia 6.9 ya mwaka 2021
Lengo ni kufikia asilimia 80 ifikapo 2034
Apongeza juhudi za Rais Samia katika kuwezesha...
DKT. SAMIA AKUTANA NA KARDINALI RUGAMBWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Kardinali...
TAZAMA UMATI WA WANANCHI WA URAMBO MKOANI TABORA WALIVYOFURIKA KWENYE MKUANO...
Umati wa Wananchi wa Urambo Mkoani Tabora waliofurika kwenye mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha...







