NEEMA ADRIAN
SIMBA IMEREJEA KILELENI, KWA KUIZABA TANZANIA PRISONS BAO 3-0
Simba imerejea kwenye kilele cha Ligi ya NBC kwa kufikisha alama 47 baada ya kuwazaba Wajelajela, Tanzania Prisons kwa jumla ya mabao 3-0.
Mabao ya...
NIRC YASHUSHA NEEMA PWANI
KUJENGA VISIMA VYA UMWAGILIAJI VITANO
NIRC Pwani
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini mkataba wa mradi wa uchimbaji visima vitano vya umwagiliaji katika Mkoa wa...
NEMC YAIPONGEZA EACOP KWA KUHIFADHI IKOLOJIA YA MTO SIGI
Na Mwandishi Wetu, Tanga
BODI ya Wakurugenzi ya Baraza la Usimamizi la Mazingira la Taifa (NEMC) imeupongeza uongozi wa kampuni ya Bomba la Mafuta Ghafi...
SERIKALI IKO TAYARI KUSHIRIKIANA NA WADAU MAPAMBANO DHIDI YA MARBURG- DKT...
Na WAF, Kagera
Mganga mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe ameshukuru kwa utayari ambao wameuonesha Wadau Sekta ya Afya katika kupambana na mlipuko wa ugonjwa...
WAZIRI MHAGAMA: MUHIMBILI, JKCI, MOI NA AGA KHAN ZIMEJIPANGA KUHUDUMIA WAGENI...
Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, leo amefanya ziara hospitali Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Taasisi ya...
TANZANIA IKO TAYARI KWA “ENERGY SUMMIT” KIUTALII ZAIDI -DKT.ABBASI
Na Mwandishi Wetu, Dar
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi amesema ikiwa ni sehemu ya manufaa ya nchi kutokana na...