NEEMA ADRIAN
MGOMBEA UDIWANI KATA YA LIGANGA JIMBO LA PERAMIHO KUPITIA CHAUMA ATIMKIA...
Katika hali iliyowashangaza wananchi wengi, mgombea nafasi ya Udiwani katika kata ya Liganga, wilaya ya Songea Vijijini kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA)...
CCM YAJA NA SULUHISHO LA KUDUMU LA MAJI ILALA NA SEGEREA
MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema chama hicho kikipewa ridhaa ya kuongoza katika kipindi cha...
DKT.NCHIMBI: SERIKALI IMEDHAMIRIA KURASIMISHA BIASHARA ZENYE TIJA,AZUNGUMZA AKIWA KWENYE MKUTANO WA...
Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameendelea na mikutano...
PICHA MBALIMBALI MATUKIO YA MGOMBEA MWENZA WA URAIS DKT. NCHIMBI ILULA
PICHA mbalimbali za matukio ya Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa nafasi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel...
RC CHALAMILA MARUFUKU MABAUNSA KUTUMIKA KUTOA WATU MAENEO YENYE MIGOGORO DSM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo Kufuatia ukiukwaji wa sheria na vitendo vya ukatili vilivyofanywa na Mabaunsa dhidi...
DK.NCHIMBI ATUA MUFINDI KUOMBA KURA ZA DK SAMIA …WANANCHI WAMUAHIDI USHINDI
Na Mwandishi Wetu
MGOMBEA mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameendelea kufanya mikutano ya kampeni kuelekea Uchaguzi...







