NEEMA ADRIAN
RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA NCHI ZINAZOZALISHA KAHAWA AFRIKA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akinywa Kahawa inayozalishwa nchini Tanzania wakati akiwahutubia Viongozi pamoja na wageni mbalimbali...
DKT. MPANGO AITAJA STAMICO MFANO BORA UTEKELEZAJI MATUMIZI NISHATI SAFI YA...
Mageuzi Makubwa ya STAMICO Yapelekea Kujitegemea Kiuchumi
Mbeya
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amepongeza Shirika la Madini la Taifa...
SIMBA IMEREJEA KILELENI, KWA KUIZABA TANZANIA PRISONS BAO 3-0
Simba imerejea kwenye kilele cha Ligi ya NBC kwa kufikisha alama 47 baada ya kuwazaba Wajelajela, Tanzania Prisons kwa jumla ya mabao 3-0.
Mabao ya...
NIRC YASHUSHA NEEMA PWANI
KUJENGA VISIMA VYA UMWAGILIAJI VITANO
NIRC Pwani
Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini mkataba wa mradi wa uchimbaji visima vitano vya umwagiliaji katika Mkoa wa...
NEMC YAIPONGEZA EACOP KWA KUHIFADHI IKOLOJIA YA MTO SIGI
Na Mwandishi Wetu, Tanga
BODI ya Wakurugenzi ya Baraza la Usimamizi la Mazingira la Taifa (NEMC) imeupongeza uongozi wa kampuni ya Bomba la Mafuta Ghafi...
SERIKALI IKO TAYARI KUSHIRIKIANA NA WADAU MAPAMBANO DHIDI YA MARBURG- DKT...
Na WAF, Kagera
Mganga mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe ameshukuru kwa utayari ambao wameuonesha Wadau Sekta ya Afya katika kupambana na mlipuko wa ugonjwa...