NEEMA ADRIAN
WAZIRI MKUU AMPONGEZA DKT. MWINYI KWA MAPINDUZI YA SEKTA YA ELIMU
Asisitiza Serikali kuendelea kuwekeza katika elimu inayojenga ujuzi na maarifa
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amezindua Skuli ya Sekondari ya Chukwani...
DKT. MWIGULU AFUNGUA SKULI YA CHUKWANI, ZANZIBAR
Ampongeza Dkt. Mwinyi kwa uwekezaji katika sekta ya Elimu.
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli ya Sekondari Chukwani, Zanzibar ikiwa...
DKT MWIGULU AAGIZA ZIUNDWE TIMU ZA MIKOA ZA WAKAGUZI WA MIRADI
Ataka watenge bajeti ya vifaa vya ukaguzi_
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemwagiza Waziri wa Nchi (OWM-TAMISEMI) awaandikie barua Wakuu wote wa Mikoa ili waunde...
WAZIRI KOMBO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KUSHIRIKI KATIKA MKUTANO WA PILI...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameongoza Ujumbe wa Tanzania kushiriki katika Mkutano wa Pili...
MAKAMU WA RAIS AMWAKILISHA RAIS SAMIA KWENYE MKUTANO WA DHARURA UGANDA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia...
DKT. MWIGULU AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MADARAJA LINDI.
Asisitiza Rais Dkt. Samia amedhamiria kushughulika kwa vitendo na umasikini wa watanzania_
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 19, 2025 amekagua maendeleo ya ujenzi...







