NEEMA ADRIAN
SERIKALI KUHAKIKISHA BARABARA ZOTE ZA HALMASHAURI ZINAFUNGULIWA
Singida
Serikali inaendelea kuhakikisha kwamba barabara ambazo zipo katika kila halmashauri ya wilaya zinafunguliwa ili kurahisisha usafiri na usafirishaji katika maeneo ya wananchi.
Hayo yamesemwa na...
DK.MPANGO: SERIKALI IMEDHAMIRIA KUFANYA MAGEUZI MAKUBWA KATIKA SEKTA YA MICHEZO KWA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali zote mbili chini ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan...
WAZIRI MKUU: SERIKALI KUENDELEZA MABONDE NCHINI
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa maji...
WANANCHI WAGUSWA NA MIRADI YA ELIMU INAYOTEKELEZWA NA TAWA LIWALE
Wakiri uhifadhi kuwa na manufaa.
Na Mwandishi wetu, Lindi.
Miradi ya ujenzi wa madarasa mawili yenye thamani ya shillingi millioni 60 katika kijiji cha Ngumbu wilaya...
TANZANIA KUWA MWENYEJI KATIKA TUZO ZA MWAKA 2025
Tanzania imepewa heshima ya kuwa mwenyeji wa hafla ya kutangaza washindi wa Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi, iitwayo "Africa & Indian Ocean...
NACHINGWEA YAANZA KUNUFAIKA NA VITUO VYA KUDHIBITI WANYAMAPORI WAHARIBIFU
Na Mwandishi Wetu, Lindi
Wananchi wa Kijiji cha Nditi, Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, wameanza kuona manufaa ya vituo vya Askari wa Mamlaka ya Usimamizi...