HUGHES DUGILO
KISHINDO CHA DKT.SAMIA KUTIMUA VUMBI SHINYANGA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Oktoba 11, 2025 anaanza Mikutano...
WAKANDARASI MRADI WA NHC SAMIA HOUSING SCHEME DODOMA WATAKIWA KUONGEZA KASI...
DODOMA
-Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Dkt. Sophia Kongela amewataka wakandarasi na timu ya ujenzi ya mradi...
ABSA WAJIONEA MAAJABU MIRADI YA NHC DAR ES SALAAM
Tarehe 10 Oktoba 2025, timu ya wataalamu kutoka Benki ya ABSA Tanzania ilifanya ziara ya kikazi katika miradi mikubwa ya makazi inayotekelezwa na Shirika la Nyumba la Taifa...
KAMPENI ZA DKT. SAMIA KUTIKISA MIKOA YA MARA, SIMIYU
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuhitimisha...
SAMIA SIO FISADI, TUMETHIBITISHA HILO WANAWAKE WA MARA- AGNES MARWA
"Nasimama mbele yenu ndugu zangu kwa heshima na taadhima naombeni kura zenu zote kwa Mama yetu Samia Suluhu Hassan, ni mwanamke aliyetuheshimisha wanawake. Mama...
DKT. NCHIMBI AKIWASALIMU WANANCHI WA KIBITI AKIELEKEA MKURANGA
Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasalimia na kuzungumza...