HUGHES DUGILO
RC ROSEMARY AWATANGAZIA FURSA WAFANYABIASHARA KUWEKEZA DODOMA
Na Mwandishi wetu
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameendelea Kuwakaribisha Wafanyabiashara na Wawekezaji, kuchangamkia fursa Jijini Dodoma kwa kile alichokisema kuwa Mkoa...
DKT. MWIGULU ASHIRIKI MAZISHI YA MHE. JENISTA MHAGAMA.
*Atoa maagizo kwa Mkandarasi wa barabara ya Kitai-Ruanda._
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Desemba 16, 2025 ameshiriki katika Mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa...
WIZARA YA FEDHA KUSHIRIKIANA NA CHUO KIKUU MZUMBE KUIMARISHA USIMAMIZI WA...
Kaimu Naibu Katibu Mkuu Huduma za Hazina, Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, akifungua mafunzo ya usimamizi wa mali za umma, kwa wanafunzi wa...
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI MAZISHI YA JENISTA MHAGAMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiweka shada la maua katika Kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Jimbo...
MKURUGENZI MKU REA AWATAKA WATUMISHI KUFANYA KAZI KWA BIDII, UADILIFU NA...
* Awasisitiza, kuheshimiana, kupendana na kutimiza wajibu wao
Dodoma
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amewataka watumishi kufanya kazi kwa...
FAMILIA YA KICHWABUTA BUKOBA KUSAIDIANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIUCHUMI, KIELIMU
Na Mwandishi Wetu
Familia ya Kichwabuta kutoka Bukoba imeanzisha umoja wa kusaidiana kiuchumi, kielimu na pale mwanaukoo anapopatwa na changamoto na kulinda tamaduni wao.
Umoja huu...







