ENNA SIMION
DKT. NCHIMBI AMEWAHIMIZA WATANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA CCM
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewahimiza Watanzania kuendelea kushirikiana na CCM, akisisitiza kuwa chama hicho kimeonyesha kwa...
WATAALAM WAKUTANA MAANDALIZI YA KONGAMANO LA WIKI YA MAFUTA
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio leo tarehe 06 Oktoba, 2024 ameongoza kikao cha maandalizi cha Wataalam kutoka Tanzania watakaoshiriki...
WAZIRI MKUU AAGIZA WATUMISHI WANNE KIGAMBONI WAFIKISHWE MAHAKAMANI.
*Aagiza kusimamishwa kazi kwa Bi. Annie Maugo wa Kitengo Jumuifu cha Amana, TAMISEMI
*Aipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kwa kuchukua hatua za awali.
Waziri Mkuu...
DKT. BITEKO AWAASA WANAJAMII KUTENDA MEMA,KUACHA ALAMA
*Ashiriki Kumbukizi ya Askofu wa Kwanza AICT*
*Asema Vikwazo Visiwavunje Moyo Viongozi wa Dini*
*Uandikishaji Daftari la Wapigakura Mwanza Oktoba 11 hadi 20...
DKT.NCHIMBI AANZA ZIARA MKOANI SIMIYU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa Lamadi, Wilaya ya Busega, Mkoa wa Simiyu, leo...
NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS ATOA WITO KWA WANACHAMA...
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis ametoa wito kwa Nchi Wanachama wa Ziwa Tanganyika kuendelea kulinda...