Home LOCAL KUKOSA MISIMAMO KUNAWAGHARIMU CHADEMA.

KUKOSA MISIMAMO KUNAWAGHARIMU CHADEMA.

2021: Bila katiba mpya hatushiriki chaguzi wowote- Freeman Mbowe

Februari 2023: Bila katiba mpya Chadema haitashiriki uchaguzi mkuu 2025- Tundu Lissu

Disemba 2023: Maandalizi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2025 unaendelea- John Mnyika

Julai 2024: Hatuta susia uchaguzi. Tuta pambana kuwatoa madarakani- Freeman Mbowe

Oktoba 2024: CCM inaandikisha wanafunzi kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa- Gobless Lema

Chadema hawajielewi na wao hawaeleweki. Kwa miaka mitatu wamekua wakisema hawata shiriki uchaguzi wowote bila katiba mpya. Hivyo waliweka mayai yao yote kwenye kapu la katiba mpua bila kujiandaa na chaguzi.

Leo wamebadili gia angani, wamekubali kushiriki chaguzi bila maandalizi yoyote na hata kabla ya mapambano wameanza visingizio. Wanatoa visingizio kwa sababu wanajua hawaja jiandaa na chaguzi za serikali za mitaa ni rasharasha tu, je uchaguzi mkuu itakuwaje.

Previous articleVYUO VIKUU VYASHAURIWA KUWEKEZA KWA VIJANA
Next articleVYAMA VYA USHIRIKA VYASHAURIWA KUTUMIA MFUMO WA KIDIJITALI KATIKA MAJUKUMU YAO
Hughes Dugilo is a Writer, News Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 20 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs. Aside from all above he own and operate his Blog known as Green Waves Media TZ since 2018.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here