Home LOCAL RAIS DKT .SAMIA AKIAPISHA BAADHI YA VIONGOZI IKULU

RAIS DKT .SAMIA AKIAPISHA BAADHI YA VIONGOZI IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ndugu Nenelwa Joyce Mwihambi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania kwenye hafla fupi ya Uapisho iliyofanyika Ikulu, Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Septemba, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ndugu Baraka Ildephonce Leonard kuwa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye hafla fupi ya Uapisho iliyofanyika Ikulu, Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Septemba, 2024.

Viongozi mbalimbali wakila kiapo cha uadilifu kwa Viongozi wa Umma kwenye hafla fupi ya Uapisho iliyofanyika Ikulu, Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Septemba, 2024.

Previous articleBIASHARA YA KUUZA MAJI HAITAKUWEPO TENA WILAYA YA UBUNGO-MHE.LUKUVI
Next articleTEF YAPONGEZA KUUNDWA BODI YA ITHIBATI YA WANAHABARI

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here