Home LOCAL MAKAMO WA RAIS AKUTANA NA WAZIRI WA FEDHA WAFANYA MAZUNGUMZO

MAKAMO WA RAIS AKUTANA NA WAZIRI WA FEDHA WAFANYA MAZUNGUMZO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, mazungumzo yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu wa Rais, Mkoani Dodoma, leo tarehe 03 Februari 2025.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!