Home LOCAL MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI ASHIRIKI KIKAO CHA WADAU WA MAHAKAMA

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI ASHIRIKI KIKAO CHA WADAU WA MAHAKAMA

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari ameshiriki katika kikao cha wadau wa Mahakama kilichofanyika tarehe 22 Januari, 2026 Jijini Dodoma.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Kikao hicho kilichoongozwa na Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mhe. George Masaju kililenga katika kujadiliana juu ya uboreshaji wa utoaji wa huduma za Mahakama na Sekta ya Sheria kwa ujumla