Home LOCAL RAIS SAMIA AMTEUA BAKARI MACHUMU KUWA MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU

RAIS SAMIA AMTEUA BAKARI MACHUMU KUWA MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wafuatao:-

Bw. Tido Mhando ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Habari na Mawasiliano;

Bw. Bakari Steven Machumu ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa
Mawasiliano Ikulu.

Bw. Machumu anachukua nafasi ya Bi. Sharifa Bakari Nyanga ambaye amepangiwa majukumu mengine;

na Bw. Lazaro Samuel Nyalandu ameteuliwa kuwa Balozi.

Imetolewa na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Bkt. Moses M. Kusiluka,

KATÍBU MKUU KIONGOZI
19 Novemba, 2025