Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM),Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki katika upigaji wa kura katika kituo cha kupigia kura cha Kariakoo kilichopo wilaya ya Mjini mkoa wa Mjini Magharibi.
Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!
















