Home SPORTS SIMBA SC 5 – 1 PAMBA JIJI FC

SIMBA SC 5 – 1 PAMBA JIJI FC

Timu ya Wekundu wa Msimbazi Simba SC imeibuka mshindi kwa kuipigiza timu ya Pamba Jiji FC magoli 5-1 katika mchezo wa ligi kuu, uliopigwa katika Dimba la KMC Comlex jijini Dar es Salaam.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!