Home LOCAL RAIS SAMIA ASHIRIKI ZOEZI LA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA...

RAIS SAMIA ASHIRIKI ZOEZI LA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA CHAMWINO DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo tarehe 17 Mei, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino mkoani Dodoma ambapo pia aliwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika Daftari hilo.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!