Home LOCAL MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO...

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. SAMIA AKIWA KATIKA MKUTANO MKUU MAALUMU WA CCM

 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofautitofauti ya Picha aliposhiriki Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa wa mwaka 2025 uliofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete JKCC Mkoani Dodoma Jana, Machi 29,2025.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!