Home LOCAL MAKAMU WA RAIS DKT.MPANGO ASHIRIKI UFUNGUZI MKUTANO WA PILI WA BRAZIL NA...

MAKAMU WA RAIS DKT.MPANGO ASHIRIKI UFUNGUZI MKUTANO WA PILI WA BRAZIL NA AFRIKA KUHUSU USALAMA WA CHAKULA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameshiriki Ufunguzi wa Mkutano wa pili wa Brazil na Afrika kuhusu Usalama wa Chakula, Mapambano dhidi ya Njaa na Maendeleo Vijijini unaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Brazil (Itamaraty Palace) Jijini Brasilia . Tarehe 22 Mei 2025.

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!