Home LOCAL MAJALIWA AKUTANA NA VIONGOZI WIZARA YA ARDHI YA JAPAN PAMOJA NA SHIRIKISHO...

MAJALIWA AKUTANA NA VIONGOZI WIZARA YA ARDHI YA JAPAN PAMOJA NA SHIRIKISHO LA WAWEKEZAJI (JAIDA)

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Mei 27, 2025, alikutana na Waziri wa Ardhi, Miundombinu, Usafirishaji na Utalii wa Japan,  Mheshimiwa Hiromasa Nakano  kwenye Makao Mkuu ya Wizara hiyo Tokyo Japan

Thank you for reading this post, don't forget to subscribe!

Aidha, Mheshimiwa Majaliwa alifanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Wawekezaji katika Sekta ya Miundombinu la Japan (JAIDA)  Miyamoto Yoichi pamoja na ujumbe wake ambapo walijadiliana kuhusu masuala mbalimbali ya uwekezaji kwenye sekta za Ardhi, Miundombinu pamoja na Usafirishaji.