Home LOCAL RAIS SAMIA AWAANDALIA IFTAR VIONGOZI WA DINI IKULU DAR ES SALAAM RAIS SAMIA AWAANDALIA IFTAR VIONGOZI WA DINI IKULU DAR ES SALAAM By NEEMA ADRIAN - March 6, 2025 FacebookTwitterTelegramWhatsAppCopy URL Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Machi, 2025.